HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 13, 2015

WALIOPEWA TUZO JANA KATIKA SHEREHE YA TASWA)

A; WACHEZAJI BORA
1; Samson Ramadhan (riadha).
2; Martin Sulle (riadha)
3; Mary Naali (riadha)
4; Kikosi cha Taifa Stars kilichocheza mechi za kufuzu CHAN 2009 (soka)
5; Mwanaid Hassan (netiboli)
6; Hasheem Thabeet (kikapu)
7; Timu ya Taifa ya gofu wanawake iliyoshika nafasi ya pili mashindano ya Afrika yaliyofanyika Abuja, Nigeria mwaka 2010.:
8; Twiga Stars:
9; Francis Cheka
10; Mbwana Samatta Cio…
B;TUZO ZA VIONGOZI
1;  Jenerali mstaafu, George Waitara
2.  Kanali mstaafu, Idd Kipingu
3;  Dioniz Malinzi
4.  Leodeger Tenga
5. Abdallah Majura
 
C.TAASISI ZILIZOFANYA UWEKEZAJI MKUBWA WA MICHEZO
1; Said Salim Bakhressa Group
2; Majeshi
D.TUZO YA HESHIMA
1; Rais Jakaya Kikwete

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad