HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, October 2, 2015

VIWANJA 53 VYENYE HATI NA NYUMBA VINAUZWA.

1.     Viko Mbweni  usalama  wa  taifa, vina  hati miliki, viko  karibu na  barabara  ya  lami na viko  karibu  na  beach,  vipo  Sqm  600 – 1500, bei  ni  kuanzia  milioni 35 mpaka  45.

2.     Nyumba 3 zinauzwa, zipo Mwananyamala “A”, moja vyumba 12, nyingine vyumba  6 na  nyingine vyumba 4. Zote  zina  leseni  ya  makazi, gari  mpaka mlangoni, umeme  upo. Kila  moja  bei  milioni 65.

3.     Nyumba yenye geti  la  gari, vyumba 4, kimoja master, umeme, sebule, dining, jiko, stoo, na  hati miliki inauzwa. Ipo Mbagala  Kuu, bei  milioni  65.

4.     Pia  nyumba  za  milioni 65 – 70  zipo  Mbweni  na  boko.
Mawasiliano  0784482959.



No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad