HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, October 24, 2015

MKURUGENZI WA SHIRIKA LA MISAADA LA UINGEREZA AKUTANA NA RAIS.

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana  na Mkurugenzi wa Shirika la misaada la Uingereza DFID Vel Gnanendran alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kuzungumza na Rais leo (katikati) Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Bibi. Dianna Melrose.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na mgeni wake Mkurugenzi wa Shirika la misaada la Uingereza DFID Vel Gnanendran alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo.
 [Picha na Ikulu.]

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad