HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 13, 2015

Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya mtoto wa kike yaliyo ratibiwa na WiLDAF yafana jijini Dar es salaam

Mkurugenzi wa WiLDAF Dkt. Judith Odunga akitoa neno la ufungunzi katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike duniani

Naibu Mkurugenzi wa WiLDAF Ndugu Anna Kulaya akielezea tafiti mbalimbali zinazoonyesha hali ya ukatili wa kjinsia wanaokutana nao watoto wa kike

Mkurugenzi wa Bodi ya WiLDAF ndugu Edda Mariki akitoa neno la shukrani kwa wanafunzi walioshiriki katika siku ya mtoto wa kike duniani

Mwanafunzi kutoka shule ya Secondari Tandika akielezea ukatili wa kijinsia anaokutana katika mazingira mbalimbali.

Mwanafunzi kutoka katika shule ya jangwani akielezea ukatili anaokutana nao kama mtoto wa kike

Mwanafunzi akichangia mada wakati wa warsha ya siku ya mtoto wa kike duniani iliyoandaliwa na WiLDAF Tanzania

Mwanafunzi akichangia mada wakati wa warsha ya siku ya mtoto wa kike duniani iliyoandaliwa na WiLDAF Tanzania

Wanafunzi wakifuatilia mada wakati wa warsha ya siku ya mtoto wa kike duniani iliyoandaliwa na WiLDAF Tanzania

Washiriki kutoka katika timu za ulinzi wa mtoto na mashirika yasiyo yakiserikali wakifuatilia shuhuda mbalimbali wanazokutana nazo wanafunzi wakati wa maadhimisho ya mtoto wa kike duniani

Washiriki kutoka katika timu za ulinzi wa mtoto na mashirika yasiyo yakiserikali wakifuatilia shuhuda mbalimbali wanazokutana nazo wanafunzi wakati wa maadhimisho ya mtoto wa kike duniani

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad