HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, September 19, 2015

WIZARA YA AFYA ZANZIBAR YAKABIDHIWA PIKIPIKI TANO

 Mwakilishi  wa washirika la kuhudumia watoto Zanzibar (Save the children)  Mali Lisson akitoa maelezo kabla  ya kukabidhi pikipiki za wakuu wa vitengo vya mkono kwa mkono  katika hafla iliyofanyika  wizara ya  afya  mnazimmoja mjini zaznibar.
 Mwakilishi  wa Shirika la kuhudumia watoto Zanzibar (Save the children)  Mali lisson akimkabidhi funguo za pikipiki tano, Naibu waziri  wa  Afya  Mahmoud Thabit Kombo  kwa ajili ya wakuu wa vitengo vya mkono kwa mkono  wa wilaya katika hafla  iliyofanyika  wizara ya Afya  mnazimmoja  mjini Zanzibar.
 Naibu waziri wa Afya Mahmoud Thabit  Kombo akitia saini  baada ya kupokea pikipiki tano kwa ajili ya kuwarahisishia kazi  wakuu wa vitengo vya   huduma ya mkono kwa mkono wa wilaya.
 Naibu waziri  wa Afya  mahmoud Thabit Komba akizungumza na  wafanyakazi na wakuu wa vitengo vya mkono kwa mkono waliokabidhiwa pikipiki hizo.

picha zote na Miza Othman –maelezo zanzibar.
Pikipiki walizo kabidhiwa wakuu wa vitengo  vya mkono kwa mkono kwa ajili ya kuwasaidia shughuli za kufuatilia vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia kwa watoto.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad