HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, September 23, 2015

UZINDUZI WA TANZANIA MEDIA FOUNDATION (TMF) WANAFANA USIKU WA KUAMKIA LEO JIJINI DAR ES SALAAM

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana,  Utamaduni na Michezo, Mama Sihaba Nkinga akizungumza wakati wa uzinduzi wa Tanzania Media Foundation - Mfuko wa Habari Tanzania - TMF) uliyofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye ukumbi wa LAPF Millennium Tower jijini Dar es Salaam. Mfuko huu unachukua nafasi ya Tanzania Media Fund 
 Mwenyekiti wa Bodi ya TMF Mama Halima Shariff akitoa neno la shukurani baada ya bodi hiyo kuzinduliwa usiku wa kuamkia leo  katika ukumbi wa LAPF Millennium Tower jijini Dar es Salaam. .
 Mkurugenzi wa TMF Bw. Ernest Sungura akizungumza na wadau mbalimbali waliohudhuria katika Uzinduzi wa Mfuko wa Habari Tanzania (TMF) uliyofanyika usiku wa kuamkia leo katika Ukumbi wa LAPF Millennium Tower jijini Dar es Salaam
 Mkurugenzi wa TMF Bw. Ernest Sungura akimpongeza Mkurugenzi wa Shirika la habari la Daraja Bw. Simon Mkina wakati wakati uzinduzi huo wa Mfuko wa Habari Tanzania 
 Mrisho Mpoto akitumbwiza wakati wa uzinduzi wa Mfuko wa Habari Tanzania (TMF) iliyofanyika leo katika ukumbi wa Millenium Tower jijjini Dar Es Salaam.
 Wajumbe wapya wa Bodi  ya TMF katika picha ya pamoja wakati wa uzinduzi huo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana  Utamaduni na Michezo Mama Sihaba Nkinga (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wapya wa Bodi ya TMF na  watendaji wa mfuko huo usiku wa kuamkia  leo katika ukumbi wa LAPF Millennium Tower jijini Dar es Salaam. 
Picha na Emmanuel Massaka wa Globu ya Jamii 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad