HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, September 28, 2015

HABARI KUTOKA VITUO VYA TELEVISHENI

Dk. Magufuli asema iwapo atapata ridhaa yakuiongoza nchi atahakikisha anatoa mikopo kwa wasomi wanao maliza elimu ya juu nchini. https://youtu.be/bjV9jNZsh9Q

Tanzania yapata mkopo wa zaidi ya shilingi bilioni 240 kutoka serikali ya Poland kwa ajili ya ujenzi wa kiwanda cha matrekta. https://youtu.be/W70x_FxENZo

Kampuni ya bima ya insuarance TANRI yasema huduma za bima ni muhimu kwa mtanzania sababu zinatoa kinga dhidi ya majanga mbalimbali. https://youtu.be/NAm0yAbsdJE

Timu ya Azam Fc yasema swala la kuzalilishwa kwa mshambuliaji wa John Bocco na mlinzi wa Mbeya city Juma Nyoso wanaliacha mikononi mwa TFF. https://youtu.be/JsHwxJOMS3M

Taasisi ya taifa ya utafiti wa magonjwa ya binadamu yatoa tahadhari kuhusu uwezekano mkubwa wa kutokea mlipuko wa homa ya bonde la ufa. https://youtu.be/3JxqAVSOb5o

Mwili wa marehemu mama Celine Kombani waagwa leo huku makamu wa rais akiongoza maombolezo hayo katika viwanja vya karimjee. https://youtu.be/zHGeLbZA6Jo

Mkutano wa mgombea urais Edward Lowassa wavunjika mkoani Tanga baada ya umati mkubwa wa watu kujitokeza na kuzimia kwa wingi. https://youtu.be/7tdAhq_BxY0

Dk John Pombe Magufuli ahaidi mfumo wa utoaji huduma za afya kwa watanzania ikiwemo kuboresha upatikanaji wa dawa. https://youtu.be/IhsjD9GeFHE

Bodi ya utalii Tanzania yatangaza kua maonesho ya kimataifa ya sekta ya utalii yatafanyika kuanzia oktoba 1-3 mlimani city. https://youtu.be/r0i-XZgYY5w

Jumla ya wachezaji 24 wanaounda kikosi cha timu ya taifa stars kitakachocheza dhidi ya Malawi chatangazwa rasmi.https://youtu.be/ryM00jNJhZA

Kundi la mashabiki wanaosadikiwa kua klabu ya Nice ya ligi kuu Ufaransa walishambulia gari la rais wa PSG kwa mawe.https://youtu.be/D3I_lBsseaA

Mgombea uraisi wa CCM Dr.Magufuli amtaka mwekezaji wa mashine za kusagia mahindi Iringa kuhakikisha zinafanya kazi la sivyo atazirudisha. https://youtu.be/33w2SRw5_NA

Ugonjwa wa Kipindu pindu waendelea kutishia maisha katika maeneo mbali mbali hapa nchini baada wakazi 11 kulazwa mkoani Singida. https://youtu.be/EEla58ZIofQ

Uhalifu dhidi ya makanisa mkoani Kagera waendelea kushika kasi baada ya makanisa matatu kuvunjwa na thamani zake kuchomwa moto. https://youtu.be/9sKnCWfDYJs

Umoja wa katiba ya wananchi mkoani Tabora walitaka jeshi la polisi nchini kutofungamana na chama chochote ili kutunza amani kuelekea uchaguzi mkuu. https://youtu.be/i2MyvoicC_w

Mlipuko wa Kipindu pindu wazua tharuki na kutishia maisha ya wakazi wa musoma baada ya mtu mmoja kufariki huku wengine 60 wakilazwa. https://youtu.be/wktGWSoJ1Tk

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad