Wananchi wakimsindikiza Waziri mkuu msaafu Edwald Lowassa (CHADEMA)
wakati akielekea kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia
chama cha Demokrasioa na Maendeleo (CHADEMA) wakitokea ofisi za chama
hicho kupitia ofisi za CUF na kuhitimisha katika ofisi za NEC jijini Dar
es Salaam leo.
Monday, August 10, 2015
Home
Unlabelled
WANANCHI WAJITOKEZA KUMSINDIKIZA EDWALD LOWASSA (CHADEMA) KWENDA NEC KUCHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS
WANANCHI WAJITOKEZA KUMSINDIKIZA EDWALD LOWASSA (CHADEMA) KWENDA NEC KUCHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




No comments:
Post a Comment