HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, August 10, 2015

TPDC YASHIRIKI MAONESHO YA NANENANE LINDI

 Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Mhe. Hawa Ghasia (MB) (kulia), akiweka sahihi alipotembelea banda la Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania katika Wiki ya Maonesho ya Wakulima (Nanenane) eneo la Ngongo, Mkoani Lindi.
 Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Mhe. Hawa Ghasia (MB) (kulia), akipokea zawadi kutoka Meneja wa Mawasiliano TPDC, Bi. Marie Msellemu (kushoto) alipotembelea banda la Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) katika Wiki ya Maonesho ya Wakulima (Nanenane).
 Mhandisi wa Petroli, Yusufu Risasi, (kulia) akitoa maelezo ya kitalaam kwa watu waliotembelea banda la Shirika la Maendeleo Petroli Tanzania kujionea shughuli zinazo fanywa na Shirika la TPDC

  Afisa Masoko wa TPDC, Elias Mziray (kulia), akitoa maelezo ya shughuli za Shirika kwa Wananchi waliotembelea banda la Shirika katika Wiki ya Maonesho ya Wakulima.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad