HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, August 12, 2015

SAMAKI SAMAKI WA HUKU CHANGANYIKENI KWETU WANAZIDI KUTUNUFAISHA NA HARUFU MWANANA ENEO LA DALAJANI JIJINI MBEYA...

Choko choko za Kameramani wa Mtaa Kwa Mtaa Blog kuchokonoa Taswira mbalimbali katika Eneo korofi kwa Uchafuzi wa Mazingira Jijini Mbeya, Kama ambavyo ionekanavyo Taswira hapo juu ya mwana Mama mmoja akiwa katika Biashara yake ya kuuza Machungwa huku nyuma yake akiwa ametawaliwa na Beseni kubwa la Samaki Samaki likimpatia harufu mwanaaaanaa kabisaaa.Picha na Fadhiri Atick Mtaa Kwa Mtaa Mbeya.
Hapo mdau katika Picha akikatiza Kando Kando ya Beseni la Samaki Samaki..
Wanafunzi nao Hawapo Mbali na Beseni hilo la Samaki Samaki Eneo la Dalajani Jijini Mbeya..
Kwa Mbaali Vijana wakiwa katika Mchezo wa Drafti kalibu na Beseni hilo..
Dalaja hilo likimeremeta kwa Uchafu Mwanana...
Beseni linalo aminika kwa Shombo ya Samaki Samaki Eneo la Dalajani Jijini Mbeya likiwa limekidhili kwa utupwaji wa Taka Taka kiholela.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad