HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, August 6, 2015

RAIS KIKWETE AKABIDHIWA KOMBE LA KAGAME CECAFA TOKA KWA TI MU YA AZAM FC IKULU DAR ES SALAAM LEO

 Rais Jakaya Mrisho kikwete (katikati walioketi), akiwa katika picha ya pamoja na timu ya soka ya Azam FC, viongozi wa timu hiyo na wale wa wizra ya Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, walipofika Ikulu  jijini Dar es salaam Agosti 6, 2015 kumkabidhi kombe la ubingwa wa soka Afrika Mashariki maarufu kama kombe la Kagame ambalo Azam ililitwaa hivi karibuni

Rais Jakaya Mrisho kikwete akikabidhiwa kombe la ubingwa michuano ya  Kagame ya CECAFA  na nahodha wa mabingwa wa Tanzania Azam FC walipofika Ikulu jijini Dar es salaam kumkabidhi kombe hilo Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 6, 2015.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad