Meneja wa Kanda ya Dar es Salaam Mfuko wa Pensheni wa LAPF , Yessaya Mwakifulefule (wa pili kulia) akimkabidhi Katibu wa kamati ya Usalama Barabarani Kanda Maalum, ACP Peter Sima (kushoto), Hundi ya thamani ya Million Tatu walizotoa kwa ajili yakusaidia mahitaji ya wiki ya nenda kwa usalama. Wanaoshuhudia ni Mwenyekiti wa kamati hiyo Elifadhili Mgonja (wa pili kushoto) na Afisa masoko wa Mfuko huo Rehema Mkamba .
Tuesday, August 25, 2015
Home
Unlabelled
MFUKO WA PENSENI WA LAPF WASAIDIA WIKI YA USALAMA BARABARANI
MFUKO WA PENSENI WA LAPF WASAIDIA WIKI YA USALAMA BARABARANI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment