HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, August 1, 2015

LORI LAPIGA MWELEKEKA ENEO LA UKONGA JIJINI DAR LEO

Lori la Migizo lenye namba za usalili T 567 BQW ambalo tela lake limepiga mwenyeka jioni hii eneo la Ukonga jijini Dar es salaam na kusababisha msongamano mkubwa wa magari katika barabara hiyo. Chanzo mweleka huo bado hakijafahamika.
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa katika barabara hiyo baada ya tela la Lori hilo kupiga mweleka.
Magari mengine yanayoitumia barabara hiyo yakipita kwa taabu kando kando ya barabara hiyo.
Muonekano wa tela hilo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad