HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, August 25, 2015

HIVI NDIVYO MAMBO YALIVYOKUWA KATIKA ZIARA YA LOWASSA NA BABU DUNI KWENYE MASOKO YA TANDALE NA TANDIKA JIJINI DAR

Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Wazee wa Tandale, wakati alipotembelea Soko la Tandale, jijini Dar es salaam leo, akiambatana na Mgombea Mwenza wake, Dkt. Juma Haji Duni (kushoto).
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa na Mgombea Mwenza wake, Dkt. Juma Haji Duni  wakipata maelezo kutoka kwa Bw.Omari Juma (kulia) ambaye ni mfanyabiashara ya kuuza Maharage katika Soko la Tandale, Manzese Jijini Dar es salaam leo Agosti 25, 2015, wakati walipotembelea Soko hilo kujionea hali ya biashara masokoni.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa na Mgombea Mwenza wake, Dkt. Juma Haji Duni wakiwapungia wananchi wa Tandale, Manzese Jijini Dar es salaam leo Agosti 25, 2015.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akimsikiliza kijana ambaye ni muendesha baiskeli ya miguu mitatu (guta) aliekuwa akitoka kwenye Soko la Tandale, Manzese Jijini Dar es salaam leo Agosti 25, 2015.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Bi Mkubwa (jina lake halikupatikana kwa haraka) aliekutana nae ndani ya Soko la Tandale, Manzese Jijini Dar es salaam leo Agosti 25, 2015.

Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akipata kikombe cha chai ya maziwa iliyokuwa ikiuzwa na Mwanadada (jina lake halikupatikana mara moja) wakati alipotembelea soko la Tandale, Manzese, jijini Dar es salaam leo Agosti 25, 2015.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akiwaaga wananchi wa Tandale, Manzese, jijini Dar es salaam leo Agosti 25, 2015, baada ya kutembelea Soko hilo.
Umati wa watu ukiwa umefurika nje ya Soko la Tandika, Temeke jijini Dar es salaam kutaka muwaona Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa na Mgombea Mwenza wake, Dkt. Juma Haji Duni, waliotembelea Soko hilo leo Agosti 25, 2015.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa pamoja na Mgombea mwenza wake, Dkt. Juma Haji Duni wakitembelea Soko la Tandika, Temeke Jijini Dar es salaam leo Agosti 25, 2015.
Kijana Alex aliekuwa akiuza maji ya kwenye vifuko vya plastiki, akizungumza jambo na Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa pamoja na Mgombea mwenza wake, Dkt. Juma Haji Duni, wakati walipotembelea Soko la Tandika, Temeke Jijini Dar es salaam leo Agosti 25, 2015.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa pamoja na Mgombea mwenza wake, Dkt. Juma Haji Duni wakikata mitaa ya Soko la Tandika, Temeke Jijini Dar es salaam leo Agosti 25, 2015.
Vijana wa Tandika wakiwashangilia Wagombea hao.
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akiwaaga wananchi wa Tandika.

1 comment:

  1. Mbwembwe tu hizo hakuna cha maana anawadanganya hao walala hoi ili wampe kula. Huyu baba ana uchu wa ikulu ili akalipize kisasi na wakati huo anatimiza dhamira yake hawa waliokuwa wanamfuata kila sehemu kusilikia uongo wake, walal hoi wanaofikiri siku akiingia madarakani kila mmoja anajaa noti mfukoni ndio watakaokufa kwanza. Kuweni na akili nzuri hiyo ni danganya toto inapita hapo

    ReplyDelete

Post Bottom Ad