HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, July 3, 2015

DOGO JEMBE AHOJI NANI ANAFAA KUWA RAIS

TANGU mgombea mwenye umri mdogo zaidi kutangaza nia ya kutaka kuwa rais wa Tanzania, Dogo Jembe amejikuta akipambana na upinzani mkali toka kwa wananchi wengi hasa watumiaji wa mitandao ya kijamii ambao wengi wamekuwa wakimtaka arudi shule huku wengine wakimshambulia kuwa anatumiwa na mmoja ya wanasiasa.

Mara baada ya kuzongwa na waandishi wa habari waliomuuliza anachukuliaje maoni ya wananchi kuhusu nia yake ya kuutaka urais amelazimika kuitisha mkutano na waandishi wa habari ambapo ameongea kwa hisia akihoji kama hawamtaki yeye ni nani hasa wanaona anafaa. Tazama video hii.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad