TANGU mgombea mwenye umri mdogo zaidi kutangaza nia ya kutaka kuwa rais wa Tanzania,
Dogo Jembe amejikuta akipambana na upinzani mkali toka kwa wananchi wengi hasa
watumiaji wa mitandao ya kijamii ambao wengi wamekuwa wakimtaka arudi shule
huku wengine wakimshambulia kuwa anatumiwa na mmoja ya wanasiasa.
Mara
baada ya kuzongwa na waandishi wa habari waliomuuliza anachukuliaje maoni ya
wananchi kuhusu nia yake ya kuutaka urais amelazimika kuitisha mkutano na
waandishi wa habari ambapo ameongea kwa hisia akihoji kama hawamtaki yeye ni
nani hasa wanaona anafaa. Tazama video hii.
No comments:
Post a Comment