Modesta Joseph, mwananfunzi wa
Kisutu Sekondari Dar es Salaam akipeana mkono wa pongezi na hati ya fedhana
John Mngodo, Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia
baada ya kushinda tuzo ya ubunifu wa TEHAMA wa kuwawezesha wananfunzi
kuwasilisha kero zao za usafiri kutumia TEHAMA kwa Taasisi ya EWURA.
Mgimba Faustine akipokea tuzo ya
fedha kutoka kwa Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na
Teknolojia baada ya kushinda Tuzo ya Wabunifu wa TEHAMA ya kuwawezesha wateja
kutumia simu ya mkononi kubaini bidhaa feki. Anayeshuhudia katikati ni Naibu
Balozi wa Finland nchini Tanzania Mhe. Simo-Pekka Parviainen na wa pili kulia
ni Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia Dkt. Hassan
Mshinda
No comments:
Post a Comment