Katika kilinge cha mchezo wa drafti mitaa ya changanyikeni kamera ya mtaa kwa mtaa kwa uhodari wake wa kunasa taswirazz ilipo fika tuu katika kilinge hicho na kukuta mzozo wa wachezaji na mashabiki kinazi wa mchezo wa drafti wakidhadhiana huku wengine wakiosha vinywa kwa kuchafua hali ya hewa kwa kumkandia mmoja kati ya wachezaji aliye kuwa akifanya ubadhirifu katika mchezo huo wa draftii....Picha na Mtaa Kwa Mtaa blog.
Hapo wataaramu wa mchezo wakimpa kisomo jamaa alie vaa mzura alie kuwa akifanya janja janja...
kisomo kikiendelea kwa jamaa huyo...
Jamaa nae yumo kwenye ubishi hapo akibishana na wote walio mzunguka...
No comments:
Post a Comment