Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi Mteule wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Nchini Kenya Mhe,John Michael Haule
alipofika Kujitambulisha Ikulu Mjini Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Balozi Mteule wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Nchini Kenya Mhe,John Michael Haule
alipofika Kujitambulisha Ikulu Mjini Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein akibadilishana mawazo na Balozi Mteule wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Nchini Kenya Mhe,John Michael Haule baada ya
mazungumzo yao alipofika Kujitambulisha Ikulu Mjini Zanzibar
leo,[Picha na Ikulu.]
No comments:
Post a Comment