HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, June 29, 2015

BALOZI WA TANZANIA NCHINI KENYA AKUATANA NA RAIS DK.SHEIN



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la 
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi Mteule wa 
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Nchini Kenya Mhe,John Michael Haule 
alipofika Kujitambulisha Ikulu Mjini Zanzibar leo.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na  Balozi Mteule wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Nchini Kenya Mhe,John Michael Haule
alipofika Kujitambulisha Ikulu Mjini Zanzibar leo.
  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein akibadilishana mawazo na Balozi Mteule wa Jamhuri 
ya Muungano wa Tanzania Nchini Kenya Mhe,John Michael Haule baada ya 
mazungumzo yao alipofika Kujitambulisha Ikulu Mjini Zanzibar
leo,[Picha na Ikulu.]

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad