Saturday, June 27, 2015

AFADHALI TUKAMALIZIE KILE KILAKA MAPEMAAA ....

Haya ndiyo mambo ya mikopo mara baada ya kufanikiwa kuchukuwa ka mkopo na kwenda kununua kipande cha bati kwa lengo la kuziba kilakazz nyumbani kwao...
hapo hata watoto hakuna kuwa nao sambamba  ni kuwahi watamkuta nyumbani pale palee..

No comments:

Post a Comment