Kamera ya mtaa kwa mtaa katika kuangaza kwake ilifanikiwa kubaini taswirazz kazaa za watoto wa nanii wakiwa bize na kompyuta katika swala zima la kucheza gemu, hii ilinifanya nijiulize mengi juu ya watoto hao, ila sikutaka kujua zaidi kwani jinsi wanavyo fanya vizuri katika mchezo huo si dhani kama hata dara sani wanafanya vizuri pia.picha na mtaa kwa mtaa blog.
Tuesday, May 5, 2015
Home
Unlabelled
SHULE KUNAENDEKA KWELI HAPA??
SHULE KUNAENDEKA KWELI HAPA??
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment