Kijana huyu anmbaye jina lake halikufahamika mara moja, ni mlemavu wa miguu lakini anauwezo wa kuendesha Baiskeli ya magurudumu mawili na kwenda sehemu zote azitakazo. Hapa akipita nje ya Stendi kuu ya Mabasi, Ubungo jijini Dar kama alivyokutwa na Kamera ya Mtaa kwa Mtaa blog.
Wednesday, May 6, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment