baadhi ya Abilia ambao ilitakiwa wasafiri tangu jana wakiwa katika pilika pilika stendi kuu soko matora kusubiri hatima ya mgomo huo.





bajaji zikiwa zimeingia barabarani kukusanya abilia kwa bei ya juu kulingana na daladala zinazo fanya mzungunguko jijini hapo.



Abilia wakiwa katika butwaa katika stendi ya zamani mwanjerwa.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
No comments:
Post a Comment