HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, April 5, 2015

KINUNDU KILICHO CHOMOZA ENEO LA CCM BARABARA IENDAYO STENDI KUU TUNDUMA KINAZIDI KUIBUA MBINU ZA MADELEVA KWA KUKIKWEPA.

 Hiki kinundu kilicho jichomozea hapa kiutani utanhatimae kudumu kwa mwezi mmoja bila kukifanyia utaratibu wowote kinazidi kuwapa changamoto na ubunifu madeleva katika harakati za kukikwepa kwani kila mtu apitapo hapo hikikwepa kwa staili ajuayo kutokana na utegevu wa nani akitoe na kukisawazisha hakipo mbali pale pale eneo la ccm tunduma.
         ona mbinu hizo za bajaji wanazo zitumia sambamba na bodaboda.
            hivi ndivyo kinavyo onekana baada ya kukipita kinundu hicho.
  maderevawakiendelea kutumia mafunzo ya vyuo vyao vya udereva katika ukwepaji.

 yani hapa ni mchana hali ni hivi je wageni amboo hawafika huku wakija majira ya usiku itakuaje??
 mama nae aki piga hatua mbili tatu mbele ya kinundu hicho kinacho jinadi na kujitapa kwa kudumu kwa muda mrefu katika barabara hiyo. na Fadhiri Atick(Mr.Pengo) Mbeya.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad