HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, March 16, 2015

ZEGE HUWA HALILALI

 Kamera ya Mtaa kwa Mtaa katika pita pita zake,lilikatiza barabara hii ya Shekilango na kukuta wachapakazi hawa wakiendelea na kazi ya kukoroga na kupandiza zege kwenye moja ya jengo lilalojengwa katika eneo hili.uwingi huu wa wachapakazi hawa ni kutokana na ile kauli mbiu ya uchanganyaji zege kuwa huwa halilali,hivyo ni lazima zoezi likianza ni mpaka limalizike.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad