HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, March 15, 2015

WATOTO WA KITAA: YAMOTO BAND WALIVYOPAGAWISHA TABATA

Vijana wa Yamoto Band walikonga mioyo ya mashabiki wao wa Tabata kwa kupiga show kali sana ndani ya Dar West ikiwa ni wiki moja tu imepita tangu warejee kutoka jijini London,Uingereza ambako walikuwa na Ziara.
 
Enock Bella Mzee wa sauti Nzitto a.k.a Maromboso akifanya yake katika Ukumbi wa Dar west tabata Jana.
 
Dogo Asley akiongoza vyema kundi hilo.
 
Mkubwa Fella akizungumza jambo na Mashabiki wa Yamoto Band Tabata.
 
Kayumba ni Zao kutoka Mkubwa na Wanawe akifungua show kwa kuimba kabla ya Vijana wa Yamoto Band.
Mwanadada Marope kutoka Mkubwa na wanawe akitoa Burudani katika Ukumbi wa Dar west Tabata jana.
Anaitwa Adamu solooo...
Raymond Tiptop akifanya yake katika Ukumbi wa Dar West Tabata jana.
Dulla Yeyo Msanii kutoka Mkubwa na Wanawe akiimba Mchiriku jana Dar west Tabata.
Unarambooooooo.....

PICHA ZOTE NA www.harakatizabongo.com

ANGALIA PICHA ZAIDI HARAKATI ZA BONGO

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad