HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, March 25, 2015

WAPIGA PICHA ZA FASTA FASTA MJINI MOSHI WALIPOAMUA KUONYESHA UWEZO WAO KATIKA MASUMBWI

Wapiga picha katika eneo la Kilima cha Mawenzi,mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro wakioneshana uwezo wa kurushiana masumbwi (fani nyingine ukiachana na ile waifanyayo siku zote) hata hivyo chanzo cha ugomvi huo hakikuweza kufahamika mara moja.


Video na Dixon Busagaga wa Kanda ya Kaskazini.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad