Ankal akiwa na MD wa Michuzi Media Group (kulia kwake) pamoja
na kikosi kazi cha Team Michuzi Production chini ya Production Manager
Barbra Kilugira (wa tatu kushoto) ambayo ilipata heshima ya kurekodi
mnuso wa kihistoria wa Tanzania Bloggers Network (TBN) Meet and greet
Party katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia
March 1, 2015. Mnuso huu ulifanikiwa sana kwa udhamini mkubwa wa
VODACOM TANZANIA (wadhaini wakuu), NMB, COCACOLA, RAHA.COM na SERENA
HOTEL.
Sunday, March 1, 2015
Home
Unlabelled
TEAM MICHUZI PRODUCTION YAREKODI KWA WELEDI WA HALI YA JUU MNUSO WA TANZANIA BLOGGERS PARTY SERENA HOTEL JIJINI DAR ES SALAAM
TEAM MICHUZI PRODUCTION YAREKODI KWA WELEDI WA HALI YA JUU MNUSO WA TANZANIA BLOGGERS PARTY SERENA HOTEL JIJINI DAR ES SALAAM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment