Mdau kitaani akijishauri juu ya kiroba alicho kipakia kwenye kipando a.k.a injini kiuno huku akiwa mguu njee mguu ndani kuashiria yakuwa kiroba hicho kimemshinda maarifa kidogo na kupelekea mweleka mtaroni.
hapa sasa mambo mswanoo ni kuyeeyaa tuuu.
No comments:
Post a Comment