Wananchi wakiwa wamepanga mawe na miti kuziba barabara ya Bagamoyo Road maeneo ya Kawe Bondeni jijini Dar es salaam leo ili kushinikiza kuwekewa matuta ya barabarani ili kupunguza ajali zinazotokea mara kwa mara eneo hilo. Hadi tunaruka hewani Jeshi la Polisi lilikuwa limeshawatawanya wananchi hao na kuondoa vizuizi hivyo baada ya kusababisha foleni ya takriban saa moja hivi.
Tuesday, February 3, 2015
Home
Unlabelled
WANANCHI WALIPOAMUA KUFUNGA BARABARA KUSHINIKIZA KUWEKEWA MATUTA JIJINI DAR
WANANCHI WALIPOAMUA KUFUNGA BARABARA KUSHINIKIZA KUWEKEWA MATUTA JIJINI DAR
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

.jpg)
.jpg)
.jpg)
No comments:
Post a Comment