.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na uongozi wa juu wa Chuo Kikuu cha Tumaini Dar es salaam uliomtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo February 9, 2015. Ujumbe huo umeongozwa na Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la kilutheri Tanzania Dkt Alex Malasusa pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Nyumba la taifa (NHC) na Mwenyekiti wa Harambee ya chuo hicho ambacho kinamilikiwa na kanisa la KKKT.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa juu wa
Chuo Kikuu cha Tumaini Dar es salaam uliomtembelea Ikulu jijini Dar es
salaam leo February 9, 2015. Ujumbe huo umeongozwa na Mkuu wa Kanisa la
Kiinjili la kilutheri Tanzania Dkt Alex Malasusa pamoja na Mkurugenzi
Mkuu wa shirika la Nyumba la taifa (NHC) na Mwenyekiti wa Harambee ya
chuo hicho ambacho kinamilikiwa na kanisa la KKKT.PICHA NA IKULU

.jpg)
No comments:
Post a Comment