.jpg)
Mkuu wa kitengo cha mazingira wa manispaa ya Ilala Themi Luther(katikati)akimpatia maelekezo .Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa(kushoto) kuhusiana na usanifu wa jengo kwenye makutano ya mitaa ya Aggrey na Indragadhi ambapo ujenzi huo haujafuata michoro,Meya huyo alitembelea na kupima uzio wa mabati unaowekwa na wakandarasi wengi bila kulipiwa vibali, Katika ukaguzi huo majengo mengi yamekiuka michoro ya ujenzi na amesimamisha ujenzi huo mara moja hapo jana.
Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa(katikati mwenye miwani) akitaka ufafanuzi wa michoro ya majengo kwa mmoja wa waandisi wanaojenga majengo yaliyopo katika makutano ya mitaa ya Aggrey na Indragadhi ambapo baadhi ya majengo hayo hayajafuata michoro sanifu,Meya huyo alitembelea na kupima uzio wa mabati unaowekwa na wakandarasi wengi bila kulipiwa vibali, Katika ukaguzi huo majengo mengi yamekiuka michoro ya ujenzi na amesimamisha ujenzi huo mara moja hapo jana.
Meya
wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa(kushoto) na Mkuu wa kitengo cha
mazingira wa manispaa hiyo Themi Luther(kulia) wakipitia michoro ya
usanifu ya majengo kwenye makutano ya mitaa ya Aggrey na Indragadhi
ambapo ujenzi huo haujafuata michoro, Alipotembelea na kupima uzio wa
mabati unaowekwa na wakandarasi wengi bila kulipiwa vibali, Katika
ukaguzi huo majengo mengi yamekiuka michoro ya ujenzi na amesimamisha
ujenzi huo mara moja hapo jana.
Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa(wapili toka kushoto) na Naibu wake Khery Kessy Mohamed(katikati)wakipima michoro ya usanifu ya jengo kwenye makutano ya mitaa ya Aggrey na Indragadhi ambapo ujenzi huo haujafuata michoro halali ya ujenzi,Walipotembelea na kupima uzio wa mabati unaowekwa na wakandarasi wengi bila kulipiwa vibali, Katika ukaguzi huo majengo mengi yamekiuka michoro ya ujenzi na amesimamisha ujenzi huo mara moja hapo jana.
Waandisi wanaojenga majengo yaliyopo katika makutano ya mitaa ya Aggrey na Indragadhi wakisisitizwa jambo na Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa(katikati mwenye miwani)wakati alipotembelea na kupima uzio wa mabati unaowekwa na wakandarasi wengi bila kulipiwa vibali na kukagua majengo mengi ambayo yamekiuka michoro ya ujenzi na amesimamisha ujenzi huo mara moja hapo jana.
No comments:
Post a Comment