HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, February 17, 2015

HUU NI UCHOYO

 Kamera ya mtaa kwa mtaa blog imemnasa kuli mmoja akijikakamua mtaani kwa kujiongeza kusukuma toroli lenye mawe mazito peke yake mtaa wa saba pale.
 Si likamshinda bana ikabidi ajiongeze tena kwa kuyapanga mawe yale vizuri  kwani mawe yale ni yameshiba kweli kweli si mchezo aisee.
 Wasamalia walio kuwa wakikatiza mtaa huo ikabidi wajitoe kumsaidia jamaa aepukane na hatihati aliyo nayo mtaa wa saba pale.
Msaada ukiendelea, ushauri tuu unapo pata tenda kama hii mdau tafuta mtu wa kukusaidia hawa wamemsaidia huyu huwezi jua kama na wewe watakusaidia tugawane tenda wadau.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad