HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, February 25, 2015

HEPI BESDEI YA KUZALIWA KAKA DIXON BUSAGAGA

Natanguliza shukrani zangu mbele ya Mwenyezi Mungu ambaye ameendelea kunipigania kila kukicha,lakini pia niwashukuru wazazi wangu Abdalah Mbaruku na Eustela Massatu kwa malezi mema ambayo mmekuwa mkinipatia hadi leo kijana wenu nimefikia katika umri huu.
 Furaha niliyo nayo leo ni sawa na ile ambayo wanayo wadogo zangu wapendwa Jane,Judi,Juma Busagaga ,Ashura Mbaruku na mtoto mpendwa Jesca Dixon pamoja na ndugu zangu kaka,Dada,wajomba ,mashangazi,marafiki na wengine wote tuendelee kufanya maombi ili Mwenyezi Mungu atusimamie katika kila jambo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad