HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, February 10, 2015

DALADALA MTARONI KWA KUSHINDWA KUHIMILI UTAALAMU WA KONA ENEO LA SOKOINE JIJINI MBEYA.

 Daladala moja imejikuta ikipitiliza moja kwa moja kwenye mtaro baada ya mchuma huuo kukata breki hatimae kutumbukia mtaroni katika eneo la sokoine barabara mpya ya daladala jijini mbeya.
 Daladala hiyo yenye nambali za usajiri T 499 ADZ itokayo Stendi kuu kuelekea Nsalaga ikiwa katika mtaro.
                Konda wa mchuma huo shoto akitathmini kilicho tokea.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad