HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, January 22, 2015

PILIKA PILIKA MTAANI JIJINI MBEYA ASUBUHI HII

 Sijui ni kodi au chumba kidogo au ni biri tuu za umeme na maji mpaka wadau hawa kufungasha mizigo asubuhi na mapema kuamisha sehemu nyingine.
               mzee wa chipsi mayai nae mapemaa na jiko lake la pumba za mbao.
  huyu nae baada ya kupeleka mchuma wake kwa mafundi anaanza  kukolokochoa mwenyewee
dala dala nao hawako mbali na tabia zao za kufoji vitu ona sasa mpaka boneti la nyuma limefunguka.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad