HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, January 4, 2015

Mjengo chupu chupu kuteketea Moto jijini Dar leo

 Jengo la Ghorofa 8 likiwa linateketea katika ghorofa ya 4,Jengo hilo linamilikiwa na mfanyabiashara anayejulikana kwa jina la Haji Kube ,vitu mbalimbali zikiwemo Frem za Picha ,maua, vimeteketea kwa moto,ambapo mmiliki wa ofisi hiyo yuko nje kwa safari
 Wananchi wa kiliangalia jenjo la Ghorofa 8 lililokuwa likiteketea kwa Moto katika ghorofa ya 4  kwenye  Barabara ya Agrey maeneo ya Msikiti wa Kibla ten Dar es Salaa leo.
 Hapo wananchi wakikimbizana baada ya nguzo ya umeme kutowa mlipuko  katika Barabara ya Huru na Kongo Dar es Salaam  kama ilivyonaswa na mwandishi wa Jambo Leo alipokuwa akienda katika Jengo la Ghorofa 8 lililopo jirani na Msikiti wa Kiblateni .
Hapo wananchi wakikimbizana na kuondowa bidhaa zao baada ya nguzo ya umeme kutoa mlipuko  katika Barabara ya Uhuru na Kongo Dar es Salaam  kama ilivyonaswa  na Mmiliki wa Blog ya ujijirahaa, alipokuwa katika pilika zake za kazi

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad