Matembezi madogo ya kamera mani wetu wa mtaa kwa mtaa blog,alikatiza mtaa wa maendeleo jijini mbeya na kujinyakulia taswira hii ya meza ya vinywaji ikiwa na mwamvuli wake wa dishi la dekoda lilo pambwa katika meza hiyoo kwa kuashilia dhahiri jinsi gani digitali ilivyo tawala ulimwenguni.
kwaheri analojia ni wasahaa wa digitali |
No comments:
Post a Comment