HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, December 28, 2014

TASWIRA MBALI MBALI KUTOKA WILAYANI MBARALI CHIMALA MKONI MBEYA.

kamera ya mtaa kwa mtaa blog imezama moja kwa moja wilayani Mbarali Chimala mkoa wa Mbeya na kukuletea baadhi ya taswira za mitaa wilayani humo.
mdau akiwa ametoka mzigoni katika harakati za ukaguzi wa shamba lake na kubahatika kupata baadhi ya kuni kuajili ukusukuma kidogo viji dona nyumbani kwake.
                                 dogo akipiga peda na staili yake ya kipekee bila kujali yeye ni jinsia ganii.
                             maandalizi ya dogo kwenda mtoni kuteka maji.
                                  madogo janja wakitungua maembe mtini.
                             dogo juu ya mtii akifanya yake pia juu ya mwembe huo.
                                    mambo ya kiendelea mitaa ya chimala.
 hii ni safu ya vyoo vya wafanya kazi wa Tazara vilivyo kuwa vikitumika kipindi cha nyumaa.
hapa utapata vyakula aina yote vitavyo hakikisha tumbo lako lina kidhi haja.picha na Fadhiri Atick (Mr.Pengo)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad