Wafanyakazi wa Rwandair wakipozi katika picha ya pamoja na zawadi zao, kushoto ni Lucy Ismail RwandAir country manager, Gladys Buhama na Hamida Hamza Reservation staff na kulia ni Eugene Mugisha Airport Station Manager
RwandAir Tanzania Country Manager, Lucy Ismail akifungua sherehe kwa kukaribisha wageni waalikwa na kutambulisha baadhi ya staff,kulia ni Roshni,Lucy, Mayyada,Gladys na mwisho kushoto ni Naina.
Wadau wakipokea zawadi zao mwisho wa sherehe, kutoka kulia ni Anita kutokea kampuni ya Alphazulu na Abdallah kutoka Auckland Tours
Baadhi ya wadau kutoka Kampuni mbalimbali wakiwemo katika sherehe ya Rwandair iliyofanyika ijumaa 19th Dec, Serena hotel.
No comments:
Post a Comment