HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, December 31, 2014

MBEYA SASA NI CHOCOLATE CITY.

Mtazamo wa mzee wa mtaa kwa mtaa baada ya kutupia kijicho jijini mbeya na kukuta mabati mengi jijini humo ni ya  rangi ya chocolate kutokana na kutu za mabati hayo kuwa na muda mrefuu, kupitia taswira hizi nawe pia mdao unaweza kubatiza jina hilo la chocolete city kutokana na vijana wengi wa jiji la mbeya hujivunia kwa kujiita wana green city.
                         taswira kutoka upande wa juu  muone kano wa jiji hilo.

                                          hapa ndo uchocolete ukiwa umetawara.

           hapaa chocolate ikiendelea kuchukuwa nafasi yake kwa wingi zaidii.
                           hapa kuna mchanganyiko wa green na chocolate.
                               hapo vipi wana chocolate city.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad