HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, December 16, 2014

KAZI NA DAWA.

Siunajua msimu wa xmasi na mwaka mpya unakaribia,mzee wa mtaa kwa mtaa katika kupeleka salamu za xmas na mwaka mpya, akakutana moja kwa moja na mwalimu mstaafu,Mwalimu Semeni Lweja akiwa kazini huku aki shushia vitu vizuri na  pindi likiendelea kama kawa.
kutoka kushoto paka akiwa amepumzika kutokana na uchovu wa kujaza matilio mengi kutoka kwa,Ticha Semeni Lweja na katikati alie kamatia kinywaji baridi ni Ticha Lweja na wanafunzi wake pindi likiendelea.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad