HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, December 9, 2014

Edward Mwambopo na Anitha Makundi wameremeta huko jijini mbeya

Mdau Edward Mwambopo na mai waifu wake Anitha Makundi wote wakazi wa jijini Mbeya wakiingia ukumbini kwa madaha wakati wa sherere yao ya kupongezwa na ndugu,jamaa na marafiki mara baada ya kumeremeta kwao.Sherehe hiyo ilifanyika katika Ukumbi wa Mkapa,Soko Matola jijini Mbeya.
Mdau Edward Mwambopo akitoa neno kwa wageni waalikwa.
Mdau Edward Mwambopo na mai waifu wake Anitha Makundi wakiwa na nyuso za furana na upendo tele katika Sherehe yao ya kupongezwa,iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mkapa uliopo Soko Matola,Jijini Mbeya.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad