Siunajua kama sio kitaani kwako ni kitaani kwa mwenzio,libeneke
limemnasa dogo mmoja mtaa wa kina naniii palee akijipiga sop sop
mwilini mwake,na maji yaliyo pata uvuguvugu wa jua,kwa lengo la kupiga
deshi deshi ya kuto kwenda kubafuu.
"hapa leo nikifika home tuu nikupitiliza moja kwa moja jikonI,halafu nikimkuta dingi nampita kama simjui vilee na usiku kama kawa na lala hivi hivi mmbu watakutana nacho leo hanyonyi mtu damu safi hapaa"
dogo akiendelea kujifanyia utalamu kwenye mwili wake na maji yalio pata uvugu vugu wa jua.

No comments:
Post a Comment