HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, December 31, 2014

Bi. Fatma Moh’d Salim (Jinja) azindua vitabu vyake vitatu vya simulizi za kale

Mtunzi mkongwe wa vitabu Zanzibar Bi. Fatma Moh’d Salim (Jinja) akionyesha vitabu vya hadithi za kale alivyovitunga, katika sherehe za uzinduzi wa vitabu hivyo zilizofanyika nyumbani kwake Chukwani Zanzibar. 
Mwandishi wa Habari wa Redio Annur Fm Kasim Khamis akimuuliza suali Bi. Fatma Jinja kuhusiana na utunzi wa vitabu vyake alivyo vizindua.
Baadhi ya waalikwa waliohudhuria sherehe za uzinduzi wa vitabu hivyo wakimskiliza Bi. Fatma Jinja (hayupo pichani) alipokuwa akitoa maelezo juu ya utunzi wa vitabu hivyo .
Waandishi wa Habari wakifanya mahojiano na mtunzi wa vitabu Bi. Fatma Jinja huko nyumbani kwake Chukwani Zanzibar baada ya uzinduzi wa vitabu vyake. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.

1 comment:

  1. Nimevutiwa na taarifa hii. Laiti ingekuwa na maelezo zaidi. Najisikia vibaya kwamba sikuwa na habari kuwa kuna mwandishi huyu. Nampa hongera kwa kazi anayofanya. Mimi kama mwandishi pia, nafahamu ugumu wa kazi hii.

    ReplyDelete

Post Bottom Ad