HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, November 12, 2014

WAFANYAKAZI WA BENKI YA CRDB WASHEREHEKEA SIKU YA FAMILIA

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles Kimei akifafanua jambo wakati wa Sherehe za Siku ya Familia iliyofanyika katika hoteli ya Kunduchi.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles Kimei (wa pili kulia mstari wa nyuma) na Mkurugenzi wa Idara ya Rasilimali Watu wa benki hiyo, Dorah Ngaliga wakiwa katika picha ya pamoja na watoto waliohudhuria tamasha la ‘Family Day’ lililowashirikisha wafanyakazi wa benki hiyo pamoja na familia zao. Tamasha hilo lilifanyika Kunduchi Wet 'N' Wild Dar es Salaam.
Vikombe vya washindi walioshinda katika michezo mbalimbali.
Dk. Kimei akifurahia nishani aliyotunzwa kwa kuwajali wafanyakazi kupitia Family Day.
Washindi wa kwanza katika mchezo wa Soka wakiwa katika picha ya pamoja na Dk. Kimei.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad