Kama kawaida ya libeneke hili la mtaa kwa mtaa,limetupia jicho katika
mtaa moja na kukuta hali hii ya maandalizi ya gari la sherehe ya harusi,Tazama
gari la maharusi likiwa limepigwa sopsop na mapambo ya nguzu tayari kwa safari ya kwenda kuwabeba maharusi watakapokuwa wamemeremeta na kuwaka waka na kuanza kupiga misele ya mzunguko wa hapa na pale ili waweze kupata picha za kumbukumbu mwanana kabisa.hii ni jijini Mbeya leo hii. Picha na Fadhil Atick.
Friday, November 14, 2014

Maandalizi ya Gari la Maharusi
Tags
# HABARI
# HARUSI
# JAMII
# MAISHA
# SHEREHE
SHEREHE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment