Leo katika pita pita za Mtaa Kwa Mtaa Blog,iliunasa muonekano huu wa Daladala zikiwa kwenye foleni katika Kituo cha Banana,jijini Dar es Salaam.Huu ni utaratibu mzuri sana kwakweliii na ni vyema kwa Daladala zingine kufuta utaratubu huu.
Tuesday, November 18, 2014

Home
Unlabelled
Foleni ya Daladala kituo cha Mabasi Banana,Ukonga
Foleni ya Daladala kituo cha Mabasi Banana,Ukonga
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment