HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, October 19, 2014

UZINDUZI WA THE VINTAGE NIGHT JIJINI MBEYA

Uzinduzi wa the vintage night ulio fanyika katika ukumbi wa Mama Land Pub uliopo forest jijini mbeya,unaohusisha maonyesho mbalimbali ya mitindo pamoja na burudani ya live band kutoka the Moon Light Band,Ambayo itakua ikifanyika kila ijumaa katika ukumbi wa Mama Land jijini mbeya.
baadhi ya wanamitindo kutoka jijini mbeya wakionyesha mitindo mbali mbali katika uzindozi wa the Vintage Night jijini mbeya.Picha na Fadhil Atick,Mtaa kwa Mtaa Blog - Mbeya.




No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad