

Mbunge wa Arumeru Magharibi,mkoani Arusha,Godluck Ole Medeye(kushoto) akitoa vifaa vya michezo kwa kiongozi wa timu ya Kitongoji cha Kazamoyo,Kata ya Bwawani kwaajili kuibua vipaji.

Mbunge
wa Arumeru Magharibi,mkoani Arusha,Godluck Ole Medeye(kulia) akitoa
msaada wa mabati kwa wananchi waliothiriwa na mafuriko jimboni kwake.

Mbunge
wa Arumeru Magharibi,mkoani Arusha,Godluck Ole Medeye(kushoto) akitoa
vifaa vya michezo kwa kiongozi wa timu ya Kitongoji cha Nyamagana ,Kata
ya Bwawani kwaajili kuibua vipaji.

Mbunge wa Arumeru Magharibi,mkoani Arusha,Godluck Ole Medeye(kulia) akikagua caravati linalowaondolea kero ya mawasiliano.Picha na woindeshizza blog
No comments:
Post a Comment